Feri ya Zanzibar: Boti ya kisiwa kwenda Zanzibar
Maili 28 kutoka Pwani ya Tanzania, panga kwenda Zanzibar. Fika Zanzibar kutoka Dar es Salaam ukila upepo mwanana kwenye ferry. Boti zenye viyoyozi huenda kwa mwendo wa masaa 2 hado Stone town kupitia bahari ya Hindi.
Baada ya kupita uhamiaji, watalii wanaweza kuzunguka kutalii mji, fukwe na kufurahia fursa mbalimbali za kitalii.
Maelezo
Bei -
Dola 35 kwa kila mmoja kwa tiketi ya kawaida au Dola 50 kwa VIP. Watoto (miaka 5-11) Dola 25. Watoto chini ya miaka 5 ni bure.Masaa -
Boti inaondoka kila siku kuanzia1 asubuhi hadi saa 10 jioniShughuli
- Boti inayoenda
- Muonekano wa Bahari
- Muonekano wa mbuga