facebook Tinga Tinga Market: Unique Tanzanian Art Gallery and Marketplace [Skip to Content]Privacy Policy
Soko la Tinga Tinga Dar Es Salaam Tanzania

Soko La Tinga Tinga

Oysterbay, Dar es Salaam, Tanzania
Umbali kutoka hotelini: 4.57 Maili Tembelea tovuti Kipengele: vivutio
Sambaza:
KUHUSU
KABLA YA KUONDOKA
RAMANI/NJIA

Soko la Tinga Tinga: Nyumba ya kipekee ya sanaa Tanzania na soko

Karibu na Oyster Bay Peninsula, jionee masoko ya Tinga Tinga yenye sanaa bunifu za Afrika mashariki. Kutoka kwa mwanzilishi Edward Saidi Tingatinga, michoro hii ni ya rangi zenye kung'aa, katuni, mapambo na vidoti inayojulikana ulimwenguni
 
Michoro yote ya Tinga Tinga iliyo kwenye soko inauzwa, na ni chaguo zuri kama zawadi. Uwe mpenzi wa sanaa, utafurahia mambo yote yanayo patikana hapa.
 

Maelezo

Bei -

Peruzi bure. Bei za kuchora zinatofautiana.
 

Masaa -

Tuko wazi kila siku kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 12 jioni.
 

Shughuli

  • Wasanii wa kazi za Tinga Tinga
  • Fursa za kielimu
  • Ununuzi
  • Maonesho ya sanaa
 

Maswali na majibu

Ni sanaa iliyopewa jina la msanii Edward Saidi Tingatinga, ikiwa ni sanaa ya Kitanzania inayojulikana kwa mchanganyiko wa rangi zinazopendeza, na vidoti. Sasa sana ya Tinga Tinga ni sanaa inayojulikana ulimwenguni miongoni mwa wasanii wengi.
Michoro yote inaoonyeshwa kwenye Soko la Tinga Tinga inauzwa. Talii kwenye soko kwa uchoraji na ufinyanzi au kanvasi ya kuchorea zilizotengenezwa kwa mtindo wa Tinga Tinga.
 
 

Linki

Ramani/Maelekezo

Endesha kuelekea Soko La Tinga Tinga
Kutoka
AU Ramada Resort Dar Es Salaam
whatsapp