facebook Dar es Salaam Botanical Garden: Garden Tours & Sightseeing [Skip to Content]Privacy Policy
Bustani ya mimea Dar Es Salaam

bustani za maua dar es salaam

Samora Avenue, Kivukoni, Dar es Salaam, Tanzania
255-222-162-333 Umbali kutoka hotelini: 10.76 Maili Tembelea tovuti Kipengele: vivutio
Sambaza:
KUHUSU
KABLA YA KUONDOKA
RAMANI/NJIA

Jionee umaridadi wa Botanical Gardens Dar es Salaam

Njoo kwenye bustani ya Botaniki ya Dar es Salaam kwa oasis yenye kivuli iliyojaa mchanganyiko wa mimea ya asili na ya kigeni ikiwa ni pamoja na miti adimu ikiwemo coco-de-mer nje ya visiwa vya Seychelles.Ilianzishwa mwaka wa 1893, bustani hii ya kustaajabisha ni moja ya kivutioa kwa watalii inayowapa nafasi ya kufurahia na kuona mimea asilia kwenye mazingira tulivu. Tembea dakika kutoka Ramada Resort Dar Es Salaam, hadi kwenye bustani zetu zenye vivuli ujipumzishe ukiwa pwani ya Tanzania.
 

Maelezo

Bei-

Bure.
 

Masaa-

Jumatatu - Ijumaa 3 ash hadi 11 jioni.
 
 

Shughuli

  • Kutalii
  • Jionee kilimo cha ndani
  • Matembezi
  • Bustani
  • Tausi
  • Mandhari
 

Maswali na majibu

Ukitembelea Botanical Gardens Dar es Salaam, tegemea kuona mimea mingi ya kale na pori na mingine ambayo ni adimu kama cco-de-mer palm tree - mimea kongwe ya Seychelles. Mimea mingine ni pamoja na scarlet flame trees, purple bougainvillea, mimea mingine ya mainzi, jacaranda na hibiscus.
Muda muafaka wa kutembelea Botanical Gardens Dar es Salaam ni kipindi cha kiangazi kuanzia Juni mwishoni hadi Oktoba. Baada ya masika mimea yote huwa yamestawi na yakiwa na muonekano mzuri. Pia muda huo ni mzuri
 
 

Linki

Ramani/Maelekezo

Endesha kuelekea bustani za maua dar es salaam
Kutoka
AU Ramada Resort Dar Es Salaam
whatsapp